Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa
(LAAC) na Mbunge wa Kilwa kaskazini, Mhe. Vedasto Ngombale Mwiru
(katikati) akisisitiza jambo wakati Kamati hiyo ikipokea taarifa ya
maagizo ya kamati na Mapendekezo ya taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu
wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu Hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya
Igunga kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017. Kikao kilichofanyika leo Bungeni
Jijini Dodoma
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na
Mbunge wa Iramba Magharibi, Mhe. Mwigulu Nchemba akizungumza pale kamati
hiyo ilipokutana na Mwenyekiti na Menejimenti ya Mamlaka ya Maji na
Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWSA) wakati wa kupokea na kujadili
taarifa ya CAG kuhusu Hesabu za Mamlaka Kwa Mwaka wa Fedha ulioishia
2016/2017. Kikao kilichofanyika leo Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni
Mjumbe na Mbunge wa kiwani, Mhe. Abdallah Haji Ali
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na
Mbunge wa Kilindi, Mhe. Omari Kigua akizungumza pale kamati hiyo
ilipokutana na Mwenyekiti na Menejimenti ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa
Mazingira Mwanza (MWAUWSA) wakati wa kupokea na kujadili taarifa ya CAG
kuhusu Hesabu za Mamlaka Kwa Mwaka wa Fedha ulioishia 2016/2017. kikao
kilichofanyika leo Bungeni Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, Ndg. Revocatus Kiuuli
akizungumza na Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za
Serikali za Mitaa (LAAC) (hawapo kwenye picha) wakati wa kuwasilisha
taarifa ya maagizo ya kamati na Mapendekezo ya taarifa ya Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu Hesabu za Halmashauri ya
Wilaya ya Igunga kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017 kikao kilichofanyika leo
Bungeni Jijini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa
(LAAC) na Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Tauhida Nyimbo (katikati)
akizungumza wakati Kamati hiyo ikipokea taarifa ya maagizo ya kamati na
Mapendekezo ya taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
kuhusu Hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Igunga kwa Mwaka wa Fedha
2016/2017 kikao kilichofanyika leo Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni
Mjumbe na Mbunge wa Bukene Mhe. Selemani Zedi
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)
No comments:
Post a Comment