HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 3, 2018

YALIYOJIRI LEO KWENYE BANDA LA BUNGE KATIKA MAONYESHO YA 42 YA BIASHARA YA KIMATAIFA JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Tata Ole Nasha (kushoto) akipokelewa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge,  Zuhura Mtatifikolo alipotembelea Banda la Bunge katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea leo tarehe 3 Julai, 2018 katika Viwanja vya Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge, Zuhura Mtatifikolo (wa pili kushoto) akimpatia elimu Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Tata Ole Nasha (kushoto) kuhusu Shughuli mbali mbali zinazofanywa na Bunge alipotembelea Banda la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea leo tarehe 3 Julai, 2018 katika Viwanja vya Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mshauri wa Bunge kwa Mambo ya kisheria, Ndg. Mariam Mbarouk.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Tata Ole Nasha (kushoto) akizungumza jambo wakati alipotembelea Banda la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea leo tarehe 3 Julai, 2018 katika Viwanja vya Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge,  Zuhura Mtatifikolo na kulia ni Mshauri wa Bunge kwa Mambo ya kisheria, Ndg. Mariam Mbarouk.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Tata Ole Nasha akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembelea Banda la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea leo tarehe 3 Julai, 2018 katika Viwanja vya Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Maafisa kutoka Ofisi ya Bunge wakiwapatia maelezo wageni mbalimbali waliofika katika Banda la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea leo tarehe 3 Julai, 2018 katika Viwanja vya Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge, Zuhura Mtatifikolo (kushoto) akimpatia elimu kuhusu Shughuli mbalimbali zinazofanywa na Bunge mmoja ya wageni wananchi waliofika katika Banda la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea leo tarehe 3 Julai, 2018 katika Viwanja vya Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)      

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad