HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 11, 2018

WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MV MWANZA

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (mwenye suti katikati) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko (kulia) wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Songoro MarineTransport Ltd, Bw. Salehe Songoro mara baada ya kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha MV Mwanza kinachojengwa katika Ziwa Vitoria kwa ajili kutoa huduma katika kivuko cha Busisi - Kigongo mjini Mwanza. 
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (mwenye suti katikati) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko (kulia) wakitoka katika kivuko cha MV Mwanza kinachojengwa na Kampuni Songoro MarineTransport Ltd , kushoto mweny overall ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Bw. Salehe Songoro mara baada ya kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha MV Mwanza kinachojengwa katika Ziwa Vitoria kwa ajili kutoa huduma katika kivuko cha Busisi - Kigongo mjini Mwanza. 


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad