Meneja
wa maduka ya rejareja wa Vodacom Tanzania, Happiness Macha, akiongea na
waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa kutangaza simu mpya ya
Tecno Faya 4G yenye ofa ya GB2 kwa kila mwezi kwa muda wa miezi 12
Bure, wakati walipotembelea banda la kampuni hiyo lililopo kwenye
maonesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja
vya Mwalimu Nyerere jijijini Dar es Salaam, Simu hiyo inapatikana katika
maduka yote ya Vodacom kwa kiasi cha shilingi 195,000.
Meneja
wa maduka ya rejareja wa Vodacom Tanzania, Happiness Macha, (wapili
kulia) akimuelezea Ezra Moshi akiwa na familia yake juu ya ubora wa
simu mpya ya Tecno Faya 4G yenye ofa ya GB2 kila mwezi kwa muda wa miezi
12 Bure, wakati alipotembelea banda la kampuni hiyo lililopo kwenye
maonesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja
vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Simu hiyo inapatikana katika
maduka yote ya Vodacom kwa kiasi cha shilingi 195,000.
Meneja
wa maduka ya rejareja wa Vodacom Tanzania, Happiness Macha, (kulia)
akimuelezea Ezra Moshi juu ya ubora wa simu mpya ya Tecno Faya 4G yenye
ofa ya GB2 kwa kila mwezi kwa muda wa miezi 12 Bure, wakati
alipotembelea banda la kampuni hiyo lililopo kwenye maonesho ya 42 ya
Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere
jijijini Dar es Salaam, barabara ya Kilwa . Simu hiyo inapatikana katika
maduka yote ya Vodacom kwa kiasi cha shilingi 195,000.
Baadhi
ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam, waliotembelea banda la Vodacom
Tanzania lililopo kwenye maonesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa
yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijijini Dar es Salaam,
wakimsikiliza Meneja wa maduka ya rejareja wa Vodacom Tanzania,
Happiness Macha, (kushoto) wakati akiwafafanulia juu ya ubora wa simu
mpya ya Tecno Faya 4G yenye ofa ya GB2 kwa kila mwezi kwa muda wa miezi
12 Bure. Simu hiyo inapatikana katika maduka yote ya Vodacom kwa kiasi
cha shilingi 195,000.
Muonekano
wa banda la Vodacom Tanzania Plc, katika banda la Vodacom Tanzania Plc,
lililopo kwenye maonesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea
katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijijini Dar es Salaam, Barabara ya
Kilwa.ambapo wananchi wanajipatia simu ya Tecno Faya ambayo nimpya kwa
shiilingi 195,000.
No comments:
Post a Comment