HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 16, 2018

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao

 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania  Plc aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao akiwapungia mikono wafanyakazi wa Kampuni hiyo  ikiwa ni ishara ya kuwaaga wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania Plc aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao akiwashukuru wafanyakazi wa Kampuni hiyo wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania Plc, Ian Ferrao aliyemaliza muda wake  (kulia) akikabidhi zawadi na Meneja Ruzuku wa Vodacom  Vodacom Tanzania Foundation  Sandra Oswald  kwa niaba ya wafanyakazi wa kitengo cha Corporate Affairs   wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao akivishwa shuka la kimasai  ikiwa ni sehemu ya zawadi na mmoja wa wafanyakazi wa Kampuni hiyo,  wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania Plc aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao  akiwa na mke wake baada ya kukabidhiwa zawadi za mila za kimasai na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Plc, wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.


Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania Plc aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao akiangalia zawadi alipokuwa akikabidhiwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo  wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad