HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 7, 2018

IGP AFANYA ZIARA KATIKA VISIWA VYA ZIWA VIKTORIA

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Wakazi wa kata za Kagongo, Nyasungu na Kiriba zilizopo Visiwani Ziwa Victoria Mkoani Mara wakati wa Ziara yake ya kuhakikisha wahalifu wanaovamia wavuvi na vitendo vya wizi wa mifugo vinakomeshwa katika maeneo hayo. (Picha na Jeshi la Polisi)
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Diwani wa Kata ya Kiriba Msendo Nyamsora wakati wa ziara ya kikazi ya IGP katika Visiwa vilivyopo Mkoani Mara kwa lengo kuhakikisha wahalifu wanaovamia wavuvi na vitendo vya wizi wa mifugo vinakomeshwa katika maeneo hayo. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiagana na Wakazi wa kata za Kagongo, Nyasungu na Kiriba zilizopo Visiwani Ziwa Victoria Mkoani Mara baad ya kuzungumza  nao wakati wa Ziara yake ya kuhakikisha wahalifu wanaovamia wavuvi na vitendo vya wizi wa mifugo vinakomeshwa katika maeneo hayo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na Wakazi wa kata za Kagongo, Nyasungu na Kiriba zilizopo Visiwani Ziwa Victoria Mkoani Mara baad ya kuzungumza  nao wakati wa Ziara yake ya kuhakikisha wahalifu wanaovamia wavuvi na vitendo vya wizi wa mifugo vinakomeshwa katika maeneo hayo. (Picha na Jeshi la Polisi)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad