HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 12, 2018

Dereva wa daladala aibuka kidedea na Renault Kwid ya M-Pesa

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr Binilith Mahenge (kulia) akimkabidhi funguo za gari  mshindi wa shindano la Vodacom Mpesa Aloyce Mnyamagola alilojishindia katika promosheni inayoendelea ya 'Tumia M-Pesa ushinde gari'. 
 Mshindi wa gari  aina ya Renault Kwid kutoka Vodacom Mpesa, Aloyce Mnyamagola akifungua mlango wa gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr Binilith Mahenge jijini Dodoma jana, wanaoshuhudia ni maofisa mbalimbali kutoka Vodacom
 Mshindi wa Shilingi milioni 1ya shindano la Vodacom Mpesa Japhet Isaya Mkazi wa Hombolo Mkoani Dodoma akipokea hundi jana katika sherehe za kukabidhi zawadi kwa washindi wa Kanda ya kati zilizofanyika Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad