Wajumbe wa Bodi ya NSSF wakipata maelezo kuhusu shamba la miwa la Mradi wa Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi II kilichopo Mbigiri kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi Eng Robert Kabudi baada ya Bodi hiyo kutembelea na kujua maendeleo ya Mradi huo.
Wajumbe wa Bodi ya NSSFwakifurahia ukuaji wa Miwa katika shamba la miwa la Mradi wa Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi II kilichopo Mbigiri walipotembelea na kujua maendeleo ya Mradi huo.
No comments:
Post a Comment