HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 1, 2018

WAJUMBE WA BODI YA NSSF WARIDHISHWA NA UKUAJI WA MIWA KATIKA MRADI WA MIWA WA KIWANDA CHA MKULAZI II- MBIGIRI

 Wajumbe wa Bodi ya NSSF wakipata maelezo kuhusu shamba la miwa la Mradi wa Kiwanda  cha Sukari cha Mkulazi  II kilichopo Mbigiri kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi Eng Robert Kabudi baada ya Bodi hiyo kutembelea na kujua maendeleo ya Mradi huo.
Wajumbe wa Bodi ya NSSFwakifurahia ukuaji wa Miwa katika shamba la miwa la Mradi wa Kiwanda  cha Sukari cha Mkulazi  II kilichopo Mbigiri walipotembelea na kujua maendeleo ya Mradi huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad