HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 2, 2018

PRECISION AIR YANG’ARA MAONYESHO YA KARIBU KILI FAIR MOSHI


Waziri wa Mali Asili na Utalii Mh.Dkt.Hamisi Kigangwala akipokea maelezo kutoka kwa Meneja Masoko na Mawasiliano wa Precision Air Bw.Hillary Mremi , alipotembelea banda la Precision Air katika Maonyesho ya utalii Karibu/Kili Fair.
 Meneja Mauzo wa Precision Air Kanda ya Kaskazini, Bi.Lydia Kibonde akitoa maelezo kwa mmoja ya wageni waliofika katika banda la Precision Air katika maonyesho ya Karibu/Kili Fair yaliyofanyika mjini Moshi
Wateja wa Precision Air wakipata huduma katika banda la Precision Air katika maonyesho ya utalii Karibu/Kili Fair
 Timu ya Precision Air katika maonyesho ya utalii ya Karibu/Kili Fair Kushoto ni Meneja Mauzo kanda ya Kaskazini Bi.Lydia Kibonde, Katikati Meneja Masoko and Mawasiliano Bw.Hillary Mremi and Afisa Mauzo Bi. Monica Massawe.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad