HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 2, 2018

MTIBWA SUGAR MABINGWA ASFC, WAIPIGA SINGIDA UTD 3-2.

Wakata miwa wa Morogoro Mtibwa Sugar wamefanikiwa kunyakua ubingwa wa mashindano ya Azam Sports Federation Cup 2018 baada ya kuifunga Singida United.

Mtibwa imewachukua miaka 18 kunyakua ubingwa baada ya mara ya mwisho mwaka 2000 walipotawazwa ubingwa wa ligi kuu.

Mtibwa Sugar imefanikiwa kutwaa taji hilo la Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya Singida United. .

Mtibwa imewachukua miaka 18 kuchukua ubingwa kwa kuwafunga Singida United magoli matatu kwa mawili huku magoli ya Mtibwa sugar yakifungwa na Salum kihimbwa dk 22, Issa Rashidi dk 37 na Ismail mhesa dk ya 90 huku magoli ya Singida United yakifungwa na Chuku dk ya 43 na Kutinyu dk ya 71.
Picha na Mwaisabula.blogspot



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad