HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 5, 2018

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kijitoupele Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2018. 
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu Jenista Mhagama, akijadili jambo na Waziri wa Elimu Profesa Joice Ndalichako, Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2018. 
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Elimu Profesa Joice Ndalichako, Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2018.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika, Stephen Masele ambaye ni Mbunge wa Shinyanga Mjini, ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma, Juni 5, 2018. 
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika, Stephen Masele ambaye ni Mbunge wa Shinyanga Mjini, ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma, kutoka kushoto ni Mbunge wa Mbozi Magharibi Mheshimiwa David Silinde na Mbunge wa Viti Maalum Zanzibar Asha Abdullah Juma, Juni 5, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad