HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 22, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiongoza kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
 Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.Mwigulu Nchemba akitolea ufafanuzi kuhusu hitaji la magari katika vituo vya polisi  leo Jijini Dodoma.
 Wabunge wa Viti Maalum Mhe.Munira Mustafa Khatib na Mhe.Halima Abdallah Bulembo wakifurahia jambo wakati wa kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Jijini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Jumaa Aweso akieleza mipango mbalimbali ya wizara yake katika kutatua changamoto za miradi ya maji wakati wa kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
 Mbunge wa Lupa Mhe.Victor Mwambalaswa akiuliza swali wakati wa kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Dkt.Hamisi Kigwangalla akiteta jambo na Naibu Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Mhe.William Ole Nasha wakati wa  kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dk Augustine Mahiga akizungumza jambo na  Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Hamisi Kigwangalla na Naibu wake Mhe.Japhet Hasunga  wakati wa  kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma.
Picha zote na Daudi Manongi,MAELEZO,DODOMA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad