HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 23, 2018

WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akisalimiana na Balozi wa Italia Nchini Tanzania, Mhe.Roberto Mengoni wakati alipotembelewa ofisini kwake Bungeni Dodoma Mei 22, 2018.
 Balozi wa Italia Nchini Tanzania, Mhe.Roberto Mengoni akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Dodoma.
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama akizungumza na Balozi wa Italia Nchini, Mhe.Roberto Mengoni alipomtembelea Jijini Dodoma Mei 22, 2018.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista Mhagama na Balozi wa Italia Nchini Mhe.Roberto Mengoni wakiendelea na mazungumzo wakati Balozi huyo alipomtembelea Bungeni Dodoma.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU - DODOMA)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad