HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 23, 2018

NAIBU SPIKA, DKT. TULIA AZUNGUMZA NA BAADHI YA WANACHAMA WA CHAMA CHA VIZIWI TANZANIA LEO OFISINI KWAKE JIJINI DODOMA

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akisalimiana na Mlezi Chama cha Viziwi Tanzania, Ndg. Hashim Ismail (kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akizungumza na Mlezi Chama cha Viziwi Tanzania, Ndg. Hashim Ismail (kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akimsikiliza Mlezi Chama cha Viziwi Tanzania, Ndg. Hashim Ismail (kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Chama cha Viziwi Tanzania wakiongozwa na Mlezi Chama cha Viziwi Tanzania, Ndg. Hashim Ismail (wa pili kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad