HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 24, 2018

MAKAMU WA RAIS AJUMUIKA NA WATU MBALIMBALI MKOANI DODOMA WAKATI WA FUTARI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma Bi. Jamila Yusuph wakati wa Futari iliyoandaliwa na Mheshimiwa Makamu wa Rais jana jioni tarehe 23 Mei, 2018 kwenye makazi yake Ikulu Ndogo, Kilimani Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mtoto Samiri Abdallah wa kituo cha kulelea na kuwasomesha watoto yatima cha Zam Zam kilichoo Miyuji Dodoma wakati wa Futari iliyoandaliwa na Mheshimiwa Makamu wa Rais jana jioni tarehe 23 Mei, 2018 kwenye makazi yake Ikulu Ndogo, Kilimani Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) ​

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad