HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 2, 2018

ESRF yaratibu ziara ya wataalamu wa uchumi kutembelea shughuli za wajasiriamali wa SIDO

 Mkurugenzi Mtendaji   wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii. (ESRF), Dkt. Tausi  Kida (kushoto) na Profesa Kaushik Basu (katikati), wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni inayojishughulisha na uuzaji wa asali , Fredy Swai , wakati wa ziara ya kutembelea Shirika la Uendelezaji Viwanda Vidogo (SIDO),  ili kuona jinsi wajasiriamali wanavyoendesha shughuli zao. Ziara hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam. (Picha na Abubakari Akida)
 Mkurugenzi Mtendaji   wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dkt. Tausi  Kida, akimuelekeza jambo Profesa Joseph Stiglitz  wakati wa ziara ya kutembelea Shirika la Uendelezaji Viwanda Vidogo (SIDO),  ili kuona jinsi wajasiriamali wanavyoendesha shughuli zao. Ziara hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Kampuni inayotengeneza bidhaa ya mafuta ya kupaka kwa kutumia malighafi ya mimea, Obed Musiba (kulia), akitoa maelezo juu ya bidhaa zake kwa Mkurugenzi Mtendaji   wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dkt. Tausi   Kida (aliyeshika losheni) na Profesa Joseph Stiglitz, wakati wa ziara ya kutembelea Shirika la Uendelezaji Viwanda Vidogo (SIDO), ili kuona jinsi wajasiriamali wanavyoendesha shughuli zao. Ziara hiyo imefanyika  jijini Dar es Salaam. 
Mkurugenzi Mtendaji   wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dkt. Tausi  Kida (katikati), akiwaongoza wageni kutembelea eneo la Shirika la Uendelezaji Viwanda Vidogo(SIDO), ili kuweza kukagua shughuli za wajasiriamali wanaojishughulisha na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali.Kulia ni Profesa Kaushik Basu na Kushoto ni Profesa Sabina Alkire, ziara hiyo imefanyika  jijini Dar es Salaam. (Picha na Abubakari Akida)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad