HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 2, 2018

DKT. MWIGULU, WATENDAJI WAKUU WA WIZARA YAKE, WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUWASILISHA BAJETI BUNGENI, JIJINI DODOMA KESHO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba akitoa Maelekezo kwa Watendaji Wakuu wa Wizara yake wakati wa Kikao cha Mapitio ya Bajeti ya Wizara hiyo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kabla ya kusomwa bajeti ya Wizara hiyo, Bungeni jijini Dodoma, kesho. Kulia ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Mstaafu, Projest Rwegasira. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Wizara, jijini humo leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba (katikati meza kuu), akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Mstaafu, Projest Rwegasira alipokua anatoa maelezo katika kikao cha Mapitio ya Bajeti ya Wizara hiyo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kabla ya kusomwa Bungeni jijini Dodoma, kesho. Kulia meza kuu ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni. Wapili kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Simba Yahya. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini humo leo. 
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Mstaafu, Projest Rwegasira (kulia), akimsikiliza Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara hiyo, Issa Ng'imba, kabla ya kuanza kikao cha Mapitio ya Bajeti ya Wizara hiyo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kabla ya kusomwa Bungeni jijini Dodoma, kesho. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini humo leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba (katikati meza kuu), akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Mstaafu, Projest Rwegasira alipokua anatoa maelezo katika kikao cha Mapitio ya Bajeti ya Wizara hiyo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kabla ya kusomwa Bungeni jijini Dodoma, kesho. Kulia meza kuu ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini humo leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad