HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 18, 2018

BENKI YA CRDB YAENDESHA SEMINA YA SIKU MOJA KWA WANAHISA WAKE, JIJINI ARUSHA LEO

Benki ya CRDB leo imeendesha semina ya siku moja kwa Wanahisa wake, ili kuwajengea uwezo katika maswala ya Usimamizi wa Uwekezaji katika Hisa, Usimamizi wa Miradhi pamoja na Mabadiliko ya Sekta ya Kifedha na Athari za Sarafu za Digitali. Semina hiyo, imefanyika kwenye Ukumbi wa Simba uliopo ndani ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC), jijini Arusha leo Mei 18, 2018.
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Ally Laay akizunguza wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kwa Wanahisa wa Benki ya CRDB, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Simba uliopo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC), jijini Arusha leo Mei 18, 2018.

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei akifafanua jambo wa Wanahisa wa Benki hiyo, katika semina ya siku moja, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Simba uliopo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC), jijini Arusha leo Mei 18, 2018.
Mkufunzi na Mtaalam wa maswala ya Hisa kutoka REPOA, Dkt. Blandina Kilama akisisitiza jambo katika semina ya siku moja wa Wanahisa wa Benki ya CRDB, wakati akiwasilisha mada yake iliyohusu Usimamizi wa Uwekezaji katika Hisa, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Simba uliopo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC), jijini Arusha leo Mei 18, 2018.

Grace Joachim kutoka Joachim and Jacobs, akiwasilisha mada ya Usimamizi wa Miradhi katika semina ya siku moja ya Wanahisa wa Benki ya CRDB, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Simba uliopo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC), jijini Arusha leo Mei 18, 2018.
Mkurugenzi wa Hazina na Masoko ya Fedha wa Benki ya CRDB, Alex Ngusaru akieleza jambo katika semina ya siku moja ya Wanahisa wa Benki ya CRDB, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Simba uliopo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC), jijini Arusha leo Mei 18, 2018.
Balozi wa Denmark hapa nchini Einar Hebogard Jensen akifatilia semina ya wanahisa wa Benki ya CRDB, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Simba uliopo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC), jijini Arusha leo Mei 18, 2018.


































No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad