HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 17, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJNI DODOMA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.  Job  Ndugai akisisitiza jambo mara baada ya kipindi cha maswali na majibu Bungeni mjini Dodoma mapema leo.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira  Mhe. January  Makamba akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kwa mwaka wa fedha 2018/2019 mapema leo Bungeni mjini Dodoma.
 Waziri wa Katiba na Sheria Prof.  Palamagamba  Kabudi akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu mapema leo Bungeni mjini Dodoma. 
 Naibu Waziri wa Kilimo Dkt. Mery Mwanjelwa akisisitiza kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kuhakikisha kuwa wakulima wa Korosho wanapata malipo  yao kwa wakati mara baada yakuuza  zao hilo.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu mapema leo Bungeni mjini Dodoma
  Waziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba akisisitiza jambo Bungeni mapema leo wakati wa kipindi cha maswali na majibu.
  Sehemu ya wageni waliofika Bungeni wakifuatilia kipindi cha maswali na majibu Bungeni mjini Dodoma mapema leo.  (Picha zote na Frank Mvungi-  MAELEZO, Dodoma)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad