HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 18, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapteni mstaafu George Mkuchika akisisitiza kuhusu sheria inayotumika kutoa likizo kwa watumishi katika sekta ya umma na binafsi pale wanapojifungua.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akisisitiza kuhusu mikakati ya Serikali kuboresha makazi ya Askari Polisi hapa nchini wakati wa kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni mjini Dodoma.
 Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Paramagamba Kabudi akizungumza jambo kwa Waziri wa Madini ,Mhe. Anjella Kairuki wakati wa kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni mjini Dodoma.
 Sehemu ya wageni waliofika Bungeni wakifuatilia kipindi cha maswali na majibu Bungeni mjini Dodoma mapema leo.
Waziri wa Madini Mhe. Anjella Kairuki (katikati) akifurahia jambo na baadhi ya wabunge katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma wakati wakielekea katika ukumbi wa Bunge mapema leo.
(Picha zote na Frank Mvungi- MAELEZO, Dodoma)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad