HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 14, 2018

WASHINDI WA NYAKANYAKA BONUS KILIMANJARO WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

 Mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania - Kanda ya Kaskazini, Nancy Bagaka (kushoto) akimkabidhi Rahma Msangi (kulia) zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 baada ya kuibuka kama mmoja kati ya washindi saba wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus katika mkoa wa Kilimanjaro. Tigo imetoa jumla ya simu 84 kwa wateja wake kutoka sehemu mbali mbali katika promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus wiki hii.
 Mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania, Kanda ya Kaskazini ,Nancy Bagaka (kushoto) akimkabidhi mwalimu wa chekechekea Maulidi Hussein  (kulia) zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 baada ya kuibuka kama mmoja kati ya washindi saba wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus katika mkoa wa Kilimanjaro. Tigo imetoa jumla ya simu 84 kwa wateja wake kutoka sehemu mbali mbali katika promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus wiki hii.
 Mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania, Kanda ya Kaskazini, Nancy Bagaka (kushoto) akimkabidhi dereva wa daladala, Ally Omari (kulia) zawadi ya simu janja aina ya Tecno R6 baada ya kuibuka kama mmoja kati ya washindi saba wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus katika mkoa wa Kilimanjaro. Tigo imetoa jumla ya simu 84 kwa wateja wake kutoka sehemu mbali mbali katika promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus wiki hii.
Washindi wa simu janja aina ya Tecno R6 kwa Mkoa wa Kilimanjaro katika promosheni ya Tigo Nyakanyaka Bonus wakionesha zawadi zao mara baada ya kukabidhiwa zawadi hizo mjini Moshi na Mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Tigo kanda ya Kaskazini, Nancy Bagaka (kushoto).  Tigo imetoa jumla ya simu 84 kwa wateja wake kutoka sehemu mbali mbali katika promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus wiki hii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad