HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 23, 2018

TAKUKURU yatoa Mafunzo kuhusu kupambana na Rushwa kwa uongozi wa IFM

Mwezeshaji kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Angela Shangali (aliyesimama ) ikiwasilisha mada kwa Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Prof. Tadeo A.Satta pamoja na viongozi waandamizi wa Chuo hicho yaliyofanyika chuoni hapo.
Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha ( IFM) Prof.Tadeo Satta (wa katikati mstari wa mbele )  akiwa  kwenye picha ya pamoja na uongozi mzima wa Chuo hicho, mara baada ya kumaliza mafunzo ya kuzuia rushwa  yaliyofanyika chuoni hapo, mafunzo yaliendeshwa na wawezeshaji kutoa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad