Mwezeshaji kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Angela Shangali (aliyesimama ) ikiwasilisha mada kwa Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Prof. Tadeo A.Satta pamoja na viongozi waandamizi wa Chuo hicho yaliyofanyika chuoni hapo.
Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha ( IFM) Prof.Tadeo Satta (wa katikati mstari wa mbele ) akiwa kwenye picha ya pamoja na uongozi mzima wa Chuo hicho, mara baada ya kumaliza mafunzo ya kuzuia rushwa yaliyofanyika chuoni hapo, mafunzo yaliendeshwa na wawezeshaji kutoa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU).
No comments:
Post a Comment