HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 11, 2018

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA BALOZI WA UGANDA NCHINI TANZANIA.

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Mhe. Richard Mabonero (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Mhe. Richard Mabonero (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Mhe. Richard Mabonero (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
 (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad