HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 4, 2018

RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA MPIGADURI NA MARUHUBI

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Nd,Mustafa Aboud Jumbe (Mwenye kipaza sauti) akitoa maelezo kwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) wakati wa ziara maalum  Rais alipotembelea Mpigaduri na Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo  kutembelea Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Eneo la ufukwe wa Mpigaduri,Maruhubi  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Waziri wa Ardhi,Maji,Nishati na Mazingira, Salama Aboud Twalib wakati alipotembelea Eneo la Mpigaduri na Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea Ufukwe wa Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na Ujumbe wa Baraza la Mapinduzi walifika kuangalia Alama Maalum za mipaka ya ujenzi  wakati alipotembelea Eneo la Mpigaduri na Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea Ufukwe wa Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa maelekezo kwa watendaji  wakati alipotembelea Eneo la Mpigaduri na Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo akiwa katika ziara maalum ya kutembelea Ufukwe wa Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Mhe,Siara Ubwa Mamboya (wa pili kulia) na  Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Nd,Mustafa Aboud Jumbe (Kushoto) alipofika Eneo la fukwe ya Bwawani  wakati wa ziara maalum ya  kutembelea eneo hilo sambamba  na kutembelea Mpigaduri na Maruhubi Eneo  linalotarajiwa  kujengwa  Bandari Mpya ya kisasa itakayojengwa na Kampuni ya Chek kutoka Nchini China.
 ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akimsikiliza   Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Nd,Mustafa Aboud Jumbe (katikati) alipofika Eneo la fukwe ya Bwawani  wakati wa ziara maalum  alipotembelea  Eneo hilo  linalotarajiwa  kujengwa  Mji Mpya wa kisasa.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa maelekezo wa Wajumbe wa Baraza la Mapinduzi wakati walipofika. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad