HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 17, 2018

RAIS DK.SHEIN AKUTANA NA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR (NEC)

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Mhe. Jecha Salim Jecha alipokuwa akitoa Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Tume hiyo kwa kipindi cha miaka mitano mara walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo akifuatana na wajumbe wake.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akipokea Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa kipindi cha miaka mitano (ZEC) kutoka kwa Jecha Salim Jecha alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na Wajumbe wa Tume yake leo.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wakiongozwa na Mwenyekiti  Jecha Salim Jecha mara baada ya kukabidhi  Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya  Tume hiyo leo kwa kipindi cha miaka mitano walipofika Ikulu Mjini Zanzibar. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (katikati)   akiwa katika picha ya pamoja  na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wakiongozwa na Mwenyekiti Jecha Salim Jecha (wa tatu kushoto) mara baada ya kukabidhi  Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya  Tume hiyo  leo kwa kipindi cha miaka mitano walipofika Ikulu Mjini Zanzibar. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad