HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 4, 2018

Mwarobaini Utoaji Huduma za Afya Wapatikana

 Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Constatine Mushi akizungumza wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya siku tano kuhusu Mifumo iliyoborehswa ya Bima ya Afya ya Pamoja (CHF), Ugatuaji wa Fedha na Mipango katika Vituo vya Afya (DHFF) na wa Manunuzi ya dawa nje ya mfumo rasmi wa MSD, (Jazia - Prime Vendors System) leo Jijini Mbeya. Washiriki wa mafunzo hayo ni Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makatibu Afya, Waratibu wa Bima za Afya, Maafisa Ugavi, Maafisa Tehama na Wahasibu kutoka mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe, Katavi, Rukwa na Songwe chini ya ufadhili wa USAID/PS3. Kutoka kushoto ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dk. Robert Salim, Meneja Programu ya Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) Mkoa wa Mbeya Bw. Gasper Materu na Mwakilishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI Bi. Nkinda Shekalage. 
 Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Janeth Kibambo akielezea jambo wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya siku tano kuhusu Mifumo iliyoboreshwa ya Bima ya Afya ya Pamoja (CHF), Ugatuaji wa Fedha na Mipango katika Vituo vya Afya (DHFF) na wa Manunuzi ya dawa nje ya mfumo rasmi wa MSD, (Jazia - Prime Vendors System) leo Jijini Mbeya. Washiriki wa mafunzo hayo ni Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makatibu Afya, Waratibu wa Bima za Afya, Maafisa Ugavi, Maafisa Tehama na Wahasibu kutoka mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe, Katavi, Rukwa na Songwe chini ya ufadhili wa USAID/PS3.
 Mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI) Bi. Nkinda Shekalage akifafanua juu ya madhumuni ya mafunzo ya siku tano kuhusu mifumo iliyoboreshwa ya Bima ya Afya ya Pamoja (CHF), Ugatuaji wa Fedha na Mipango katika Vituo vya Afya (DHFF) na Manunuzi ya dawa nje ya mfumo rasmi wa MSD, (Jazia - Prime Vendors System) leo Jijini Mbeya. Washiriki wa mafunzo hayo ni Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makatibu Afya, Waratibu wa Bima za Afya, Maafisa Ugavi, Maafisa Tehama na Wahasibu kutoka mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe, Katavi, Rukwa na Songwe chini ya ufadhili wa USAID/PS3.
 Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku tano kuhusu mifumo iliyoboreshwa ya Bima ya Afya ya Pamoja (CHF), Ugatuaji wa Fedha na Mipango katika Vituo vya Afya (DHFF) na Manunuzi ya dawa nje ya mfumo rasmi wa MSD, (Jazia - Prime Vendors System) wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa mafunzo hayo leo Jijini Mbeya. Washiriki wa mafunzo hayo ni Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makatibu Afya, Waratibu wa Bima za Afya, Maafisa Ugavi, Maafisa Tehama na Wahasibu kutoka mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe, Katavi, Rukwa na Songwe chini ya ufadhili wa USAID/PS3.
Baadhi ya wawezeshaji wa mafunzo ya siku tano kuhusu mifumo iliyoboreshwa ya Bima ya Afya ya Pamoja (CHF), Ugatuaji wa Fedha na Mipango katika Vituo vya Afya (DHFF) na Manunuzi ya dawa nje ya mfumo rasmi wa MSD(Jazia - Prime Vendors System) wakijadiliana jambo mara baada ya uzinduzi rasmi wa mafuynzo hayo leo Jijini Mbeya. Washiriki wa mafunzo hayo ni Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makatibu Afya, Waratibu wa Bima za Afya, Maafisa Ugavi, Maafisa Tehama na Wahasibu kutoka mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe, Katavi, Rukwa na Songwe chini ya ufadhili wa USAID/PS3. (Picha na: Frank Shija – MAELEZO, Mbeya.)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad