HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 4, 2018

Mkutano wa Wadau wenye nia ya Kuwekeza katika Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba wafanyika leo jijini Dar

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akifafanua jambo kwa wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wadau leo jijini Dar es Salaam. 
  Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akizungumza na wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wadau hao leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu akitoa taarifa ya hali ya soko la dawa nchini kwa wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wadau hao jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Prof Appolinary Kamuhabwa akisisitiza jambo kwa wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wadau hao  leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Geofrey Mwambe akielezea vivutio vya uwekezaji katika viwanda vya dawa nchini kwa wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini, leo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wadau wa mkutano wa wawekezaji wenye nia ya kuanzisha viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini wakimsikiliza Mgeni rasmi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati wa mkutano wa wadau hao leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad