HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 28, 2018

WAZIRI MKUU AREJEA DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Kasulu Mjini , Daniel Nsanzugwako kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma wakati aliporejea akitoka Dar es salaam Machi 28, 2018. Wapili kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) ambaye pia ni Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kushoto ni Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye na watatu kushoto ni Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad