HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 7, 2018

UHIFADHI WA KUMBUKUMBU YA HISTORIA YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUWAVUTIA WADAU

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini Tanzania, Mhe. Yuri Popou (kushoto) alipotembelea katika ofisi za kukumbumbu ya urithi wa ukombozi wa bara la Afrika na kuona namna Urusi ilivyochangia katika harakati za ukombozi wa Bara la Afrika leo Jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akimuonyesha Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini Tanzania, Mhe. Yuri Popou (kushoto) pikipiki iliyotolewa na Urusi (Soviet Union) ili iweze kutumiwa wakati wa harakati za ukombozi wa bara la Afrika alipotembelea katika ofisi za kukumbumbu ya urithi wa ukombozi wa bara la Afrika na kuona namna Urusi ilivyochangia katika harakati za ukombozi wa Bara la Afrika leo Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akimuonyesha mazingira ya ofisi za kukumbumbu ya urithi wa ukombozi wa bara la Afrika Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini Tanzania, Mhe. Yuri Popou (wapili kushoto) alipotembelea katika ofisi hizo kuona namna Urusi ilivyochangia katika harakati za ukombozi wa Bara la Afrika leo Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya ujio wa Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini Tanzania, Mhe. Yuri Popou (kushoto) alipotembelea katika ofisi hizo kuona namna Urusi ilivyochangia katika harakati za ukombozi wa Bara la Afrika leo Jijini Dar es Salaam
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na Mwakilishi wa UNDP nchini, Bibi. Natalie BOUCLY (kushoto) alipotembelea katika ofisi za kuhifadhi urithi wa ukombozi wa Bara la Afrika leo Jijini Dar es Salaam na kujadili namna ambavyo UNDP itasaidiana na wizara katika kuhifadhi historia hiyo kwa manufaa ya vizazi vijavyo. 
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akimshukuru Mwakilishi wa UNDP nchini, Bibi. Natalie BOUCLY (kulia) baada ya kutembelea ofisi za kuhifadhi urithi wa ukombozi wa Bara la Afrika leo Jijini Dar es Salaam na kujadili namna ambavyo UNDP itasaidiana na wizara katika kuhifadhi historia hiyo kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Picha na: Genofeva Matemu -WHUSM

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad