Wafanyakazi wa Wizara za Nishati na Madini walioko Makao Makuu mjini Dodoma, leo Machi 8 wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Sherehe za Maadhimisho hayo zimefanyika ki-Mkoa katika Eneo la Msalato na kushirikisha Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika Binafsi na baadhi ya wanafunzi wa Shule mbalimbali.
Kaulimbiu ya
Maadhimisho ya Sherehe hiyo Kitaifa, kwa Mwaka huu ni ‘Kuelekea Uchumi wa
Viwanda, Tuimarishe Usawa wa Jinsia na Uwezeshaji wa Wanawake Vijijini’.
Pichani ni matukio
mbalimbali wakati wa maadhimisho hayo.
No comments:
Post a Comment