HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 16, 2018

BALOZI WA KUWAIT NCHINI AKABIDHI MASHINE ZA WATOTO NJITI KWA TAASISI YA DORIS MOLLEL

Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jassim Al-Najim (kushoto) akikabidhi mashine maalum za kuwasaidia Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti), kwa Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa Watoto Njiti, Doris Mollel ambazo zimetolewa na Ubalozi huo jana jijini Dar es salaam. Wengine pichani ni Rahma Amoud na Maryam Gerion wote kutoka Taasisi ya Doris Mollel. 

The Ambassador of Kuwait to Tanzania, HE Jassim Al-Najim (L) handing over the machines for preterm Babies, to the Founder of Doris Mollel Foundation, Doris Mollel, at the Kuwait Embassy Office in Dar es salaam Yesterday. Others are Rahma Amoud and Maryam Gerion all from the Doris Mollel Foundation.
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jassim Al-Najim akiwa katika mazungumzo na Ujumbe kutoka Taasisi ya Doris Mollel, uliomtembelea ofisini kwake, Jijini Dar es salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad