HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 6, 2018

wawili wapendanao wajishindia milioni 10 za tatu mzuka

Mwakilishi wa kampuni ya TatuMzuka,Milard Ayo akizungumza mbele ya Waandishi wa habari mapema jana jijini Dar,alipokuwa akiwatambulisha washindi wa TatuMzuka Daily,waliojinyakulia Milioni 10 wakiwemo wapenzi walioingia kwenye kampeni ya Valentine iliobeba kauli mbiu ya ‘Ukishinda, Unayempenda naye Anashinda’.Pichani kulia ni washindi wa kampeni ya Valentine Jumanne Kabwe na Mariam Omary ambao wote kwa pamoja walijishindia milioni 10 na kushoto ni Nicolaus Chilipweli aliyejishindia milioni 10.
Pichani kushoto ni Mshindi wa TatuMzuka Daily,Nicolaus Chilipweli mkazi wa Bagamoyo akielezea namna alivyojishindia Kitita cha Milioni 10 kupitia mchezo wa kubahatisha wa TatuMzuka na namna atakavyozitumia fedha hizo.
Pichani ni washindi wa kampeni ya Valentine waliotimiza kauli mbiu ‘Ukishinda, Unayempenda naye Anashinda’  Jumanne Kabwe na Mariam Omary ambao wote kwa pamoja walijishindia milioni 10

Kampuni ya mchezo wa bahati nasibu, Tatu Mzuka ilizindua kampeni mpya ya Valentine, ambayo ilianza rasmi hivi karibuni mpaka Februari 18,2018.Kampeni hiyo yenye kauli mbiu, ‘Ukishinda, Unayempenda Naye Anashinda’ imelenga kuhakiksha inashamirisha msimu wa Valentine kwa watanzania kupata fursa ya kujishindia mamilioni lakini pia wawapendao pia kupata fursa ya kushinda.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad