HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 28, 2018

UAE kuwajengea nyumba waliopata maafa

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohammed  Aboud Mohammed kulia akizungumza na Ujumbe wa  Mwezi Mwekundu wa  Emarates kuhusiana na utiliaji saini Ujenzi wa Nyumba za msaada kwa waathirika wa mafuriko Zanzibar.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohammed  Aboud Mohammed aliesimama kulia akiwa pamoja na Msaidizi Balozi wa Emarates, Muhammed Ibrahim Al-Bahri wakishuhudia utiaji saini  Ujenzi wa Nyumba za msaada kwa waathirika wa mafuriko Zanzibar.
 Mkurugenzi wa Kamisheni ya Maafa zanzibar Shaaban Seif Mohammed akibadilishana hati ya saini na Mkurugenzi wa Maafa wa Emarates, Said Mohammed Al-humaini kuhusiana na  Ujenzi wa Nyumba za msaada kwa waathirika wa mafuriko Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohammed  Aboud Mohammed akiwa katika picha ya pamoja na  Ujumbe wa  Mwezi Mwekundu wa Emarates baada ya  kutiliana  saini Ujenzi wa Nyumba za msaada kwa waathirika wa mafuriko Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad