Kamera ya Globu ya jamii leo imetembelea katika vituo vya mabasi ya mwendo wa haraka UDA-RT na kuona baadhi ya vituo vimeng’olewa vifaa vya kuhifadhia takataka.
Muonekano wa kituo chenye cha mabasi yaendayo haraka Udart kikiwa na kifaa cha kuhifadhia takataka.Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
No comments:
Post a Comment