HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 30, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA

 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Ackson akisoma dua ya kuliombea Bunge katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Mhe.Anthony Mavunde akijibu maswali mbalimbali ya wabunge wakati wa katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
 Mbunge wa Namtumbo, Eng.Edwin Ngonyani akiuliza swali wakati wa kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi,  Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Suzan  Kolimba na Naibu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe.Angeline Mabula  wakati wa kikao cha kwanza cha Mkutano wa kumi wa Bunge hilo leo Mjini Dodoma. Picha na Daudi Manongi,MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad