HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 17, 2018

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA WILAYANI TARIME

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimu wagonjwa wakati alipotembela hospitali ya wilaya ya Tarime akiwa katika ziara ya mkoa wa Mara, Januari 17, 2018. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adm Malima. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimfariji mtoto Naomi Ogaja (3) aliyelazwa katika hospitali ya walaya ya arime kwa matibabu wakati alipotembelea hospitali hiyo Januari 17, 2017. Kshoto ni baba mzazi wa mtoto huyo Ogaja Wajangwa.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kukagua jengo la Kituo cha Pamoja cha Forodha cha Sirari na kueleza kutorihishwa kwake na viwango vya ujenzi wa jengo hilo (pichani) ambalo limeanza kuharibika Januari 17, 2018. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adama Malima. (Picha na Ofisi  Waziri Mkuu) 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kukagua jengo la Kituo cha Pamoja cha Forodha cha Sirari na kueleza kutorihishwa kwake na viwango vya ujenzi wa jengo hilo (pichani) ambalo limeanza kuharibika Januari 17, 2018. 
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la Msingi la Kituo cha Afya cha Sirari wilayani Tarime Januari 17, 2017. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Boreha wilayani Tarime, Januari 17, 2018. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua  maeneo na majengo ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Borega wilayani Tarime baada ya kuifungua akiwa katika  ziara ya mkoa wa Mara Januari 17, 2018. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad