HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 25, 2018

Serikali yaendela kupambana na uvuvi haramu




Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega akiongoza shughuli ya kuteketeza nyavu haramu zenye thamani ya zaidi shilling milioni 100,a zilizo salimishwa na zilizokamatwa katika kisiwa cha Kerebe mkoa wa Kagera jana.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wanaoishi katika kisiwa cha Kerebe mkoa wa Kagera, juu ya kutumia zana  sahihi za uvuvi na kuacha kutumia zana haramu.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega akishuka kwenye boti huku akiwa ameambatana na viongozi wa kikosi maalum cha kupambana na uvuvi haramu wakiwasiri katika kisiwa cha Kerebe mkoa wa Kagera kwa usafiri wa boti.Picha na Emmanuel Massaka.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad