HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 3, 2018

MAMIA WAMZIKA MKE WA MWANDISHI WA HABARI WA GAZETI LA MWANANCHI MKOANI TANGA

Sehemu ya waandishi wa habari mkoani Tanga wakiwa nyumbani kwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi mkoani Tanga,Burhan Yakub ambaye alifiwa na mkewe wakati wa mazishi ambayo yamefanyika Makaburi ya Magomeni Jijini Tanga.
Sehemu ya waombolezaji wakiwa wamelibeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mke wa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Mkoani Tangawakilipeleka makaburini tayari kwa ajili ya maziko.
Sehemu ya waombolezaji wakiwa msibani eneo la Magomeni Jijini Tanga
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali Jijini Tanga wakiwa msibani katikati mwenye tisheti ya mistari ni Mwandishi Mwandamizi wa ITV na Radio One mkoani Tanga,William Mngazija kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Tanga,Hassan Hashim.
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Mkoani Tanga,Burhan Yakub kushoto ambaye amefiwa na mkewe akiwa na ndugu jamaa wakati wa msiba huo nyumbani kwake eneo la magomeni Jijini Tanga.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martini Shigella akiingia kwenye eneo la Msiba
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martini Shigella katikati akiwa eneo la msibani Magomeni Jijini Tanga kulia ni Katibu Itikadi na Uenezi CCM wilaya ya Tanga,Lupasio Kapange.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martini Shigella kushoto akisalimiana na wananchi waliokuwepo msibani mara baada ya kuwasili
Wananchi wakifukia mwili wa aliyekuwa mke wa Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi mkoani Tanga,Burhan Yakub
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Tanga,Allan Kingazi wakati wa mazishi hayo
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akisalimiana na Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Alhaj Mustapha Selebosi
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Tanga,Hassan Hashimn akiteta jambo na wandishi wa habari mkoani Tanga wakati wa msiba huo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad