HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 25, 2018

KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YAVUTIWA NA UBUNIFU WA SHUGHULI ZA KITALII HIFADHI YA TAIFA YA ZIWA MANYARA.

Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa), Allan Kijazi akizungumza kwenye kikao cha wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira iliyofanya ziara ya kikazi kwenye Hifadhi ya Taifa Ziwa Manyara mkoa wa Arusha, kulia ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga.
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,Meja Jenerali Gaudence Millanzi akizungumza kwenye kikao na kamati hiyo, kushoto ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kemilembe Lwota akifatilia kwa makini.
Mbunge wa jimbo la Sumve mkoa wa Mwanza,Richard Ndassa(kushoto),  Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga (katikati) na Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete wakiwa ndani ya Hifadhi hiyo.
Meneja Ujirani Mwema wa Tanapa, Hemed Mbugi akitembea juu ya daraja linalo ‘bembea’ ambalo ni moja kivutio kwa watalii wa nje na ndani.
Mbunge wa jimbo la Mtama mkoa wa Lindi akifurahia daraja linalo ‘bembea’ ambalo ni moja kivutio kwa watalii wa nje ya nchi na ndani.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo,Kemilembe Lwota akitembea juu ya daraja hilo.
Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete naye hakua nyuma kutembea juu ya daraja hilo ambalo limeongeza shughuli za utalii kwenye hifadhi hiyo.
Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira wakiwa juu ya daraja maalumu lililojengwa kuwawezesha watalii kuwaona wanyama aina ya Viboko na aina mbalimbali za ndege. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad