HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 12, 2018

IGP SIRRO ATAKA ASKARI KUHESHIMU WANANCHI.

Mkuu wa jeshi la polisi IGP Simon Sirro, akizungumza na askari wa vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na Kaskazini Unguja jana alipokwenda kufanya mazungumzo ya kikazi na maofisa na askari visiwani Unguja. IGP Simon aliwataka askari visiwani humo kuheshimu wananchi wakiwa kwenye kazi zao ili kuendelea kuleta heshima ya jeshi la polisi.

Askari wa vikosi vya Mjini Magharibi, Kusini Unguja na Kaskazini Unguja wakimsiliza  IGP Simon Sirro alipokuwa anazungumza nao

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad