HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 5, 2018

DAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI

Siku moja baada ya ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuagiza Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuhakikisha mabomba ya barabara ya Buguruni kwa Mnyamani yanaanza kutengenezwa hatimaye Dawasco imechukua jukumu hilo. 

Kazi hiyo imeanza mapema Jana Jioni ikihusisha wataalamu waandamizi kutoka Dawasco kukagua na kuanza hatua za awali za ubadilishaji wa bomba kubwa lenye ukubwa wa inchi 10 na kuweka bomba jipya.
Hadi tunaenda mitamboni bado mafundi wa Dawasco walikuwa wakiendelea na kazi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad