HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 24, 2017

UBALOZI WA KUWAIT WAKABIDHI VIFAA VYA WALEMAVU MKOANI TABORA

Kutoka kushoto, Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mh. Jasem Al-Najem, Naibu Waziri wa sera, Bunge, Kazi, vijana, ajira na walemavu Mh Stella Ikupa, na Mwenyekiti wa Dr Amon Mkoga Foundation. Ubalozi wa Kuwait umetoa vyerehani, fimbo za kutembelea walemavu na baiskeli za walemavu vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 18 kwa watu wenye mahitaji maalum kutoka mkoa wa Tabora.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad