HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 13, 2017

MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI IGP SIMON SIRRO AKIWA ZIARA MKOANI KIGOMA

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wa kwanza kushoto akisalimiana na viongozi  wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Kigoma baada ya kumaliza kikao  katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.  Picha na Jeshi la Polisi.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wa kwanza kushoto akiwa na Askari wa kikosi cha kupambana na uhalifu katika mazoezi ya viungo mkoani Kigoma (CRT) wakati wa ziara yake ya kikazi.  Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) na kushoto kwake ni Kamandn cbja wa Polisi Mkoa wa Kigoma  ACP Martin L. Otieno wakiwa katika picha ya pamoja na Askari wa kikosi cha kupambana na uhalifu mkoani Kigoma baada ya kumaliza kukagua mazoezi ya ukakamavu.  Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad