HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 12, 2017

MKUU WA JESHI LA POLISI IGP SIRRO AAGANA NA MAAFISA NA ASKARI MKOANI TABORA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE.

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akiaga vingozi wa Jeshi la Polisi mkoani Tabora baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi ya siku mbili mkoani humo.  Picha na Jeshi la Polisi.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) kushoto kwake ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora SACP, Willprod Mtafugwa wakiwa katika  picha ya pamoja na kikosi cha kupambana wahalifu Mkoa wa Tabora.  Picha na Jeshi la Polisi.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro katikati akiwa katika picha ya pamoja na Askari wa kike wa Jeshi la Polisi kikosi cha kupambana na uhalifu Mkoa  wa Tabora.  Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad