HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 6, 2017

Wateja wa Tigo mjini Morogoro waliojishindia Tiketi za kushuhudia Tamasha la Tigo Fiesta

Wasanii wa Muziki wa kizazi kipya, Roma Mkatoliki (kulia) na Zaiid wakimkabidhi mteja wa Tigo, Francis Wamonje (katikati) zawadi ya tiketi ya kwenda kishuhudia Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika jana mjini Morogoro.
Mteja wa Tigo mjini Morogoro, Idrissa Bakari (katikati) aliyejishindia tiketi ya kwenda kushuhudia Tamasha la Tigo Fiesta uwanja wa Jamhuri jana, akipokea tiketi yake toka kwa Wasanii wa Muziki wa kizazi kipya, Barnaba, Mimi Mars, Maua Sama na Country Boy.
Msanii Barnaba akipiga picha 'selfie' na mfanyakazi wa duka la Tigo lililopo mtaa wa Stand Morogoro jana.
Msanii Mimi Mars akiteta jambo na mfanyakazi wa duka la Tigo mtaa wa Stand Morogoro mara baada ya Wasanii kutembelea duka hilo.

Mteja wa Tigo mkoani Morogoro, Violent Mongi (wa pili kushoto) akikabidhiwa zawadi na Wasanii Vee Money, Genevieve na GNako mara baada ya mteja kupata huduma ndani ya duka hilo.
Mtoa huduma wa duka la Tigo Morogoro mjini, Dorcas James akitoa huduma kwa wateja.

Mtoa huduma wa duka la Tigo Morogoro mjini, Theodore John akitoa huduma kwa wateja waliofurika kwenye duka hilo kupata huduma mbalimbali za bidhaa zitolewazo ndani ya msimu huu wa Tigo Fiesta kwa bei nafuu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad