Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akipata maelezo toka viongozi wa Mamlaka ya Bandari, Jeshi la Polisi na
TRA kuhusiana na magari ya wagonjwa 53 yaliyofichwa katika kona moja ya
Bandari ya Dar es salaam huku wamiliki wake wakiwa hawajulikani
alipofanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akipata maelezo toka viongozi wa Mamlaka ya Bandari, Jeshi la Polisi na
TRA kuhusiana na magari ya wagonjwa 53 yaliyofichwa katika kona moja ya
Bandari ya Dar es salaam huku wamiliki wake wakiwa hawajulikani
alipofanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akipata maelezo toka viongozi wa Mamlaka ya Bandari, Jeshi la Polisi na
TRA kuhusiana na magari ya wagonjwa 53 yaliyofichwa katika kona moja ya
Bandari ya Dar es salaam huku wamiliki wake wakiwa hawajulikani
alipofanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akikagua sehemu ya magari zaidi ya 6000 yaliyopo bandari ya Dar es
salaam mengine yakiwa hapo kwa miaka zaidi ya kumi bila kuchukuliwa na
wenye nayo alipofanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili Novemba 26, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Joseph Magufuli akitoa maelekezo kuhusu magari zaidi ya 50 ya
Jeshi la Polisi yaliyopo bandarini toka mwaka 2015 kwa sababu ya
kutolipiwa ushuru alipofanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili Novemba
26, 2017
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment