HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 9, 2017

KATIBU MKUU MPYA OFISI YA WAZIRI MKUU APOKELEWA KWA SHANGWE DODOMA

 Katibu Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bi. Maimuna Tarishi akisalimiana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola wakati wa kumpokea alipowasili katika  ofisi yake  Mjini Dodoma  Novemba 9, 2017.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola akisalimiana na baadhi ya watumishi wa Ofisi hiyo wakati alipowasili katika ofisi yake mpya Mjini Dodoma Novemba 9, 2017.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola akisalimiana na baadhi ya watumishi wa Ofisi hiyo wakati alipowasili katika ofisi yake Mjini Dodoma Novemba 9, 2017.
 Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Issa Nchansi (kushoto) akiongozana na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola katika ofisi yake mpya mara baada ya kuwasili Mjini Dodoma Novemba 9, 2017.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola akisaini kitabu cha wageni wakati alipowasili katika ofisi yake mpya Novemba 9, 2017 Dodoma.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola akiteta jambo na Katibu Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bi. Maimuna Tarishi mara baada ya kuwasili katika ofisi yake Mjini Dodoma.
 Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Issa Nchansi akizungumza jambo wakati wa kikao cha Wakuu wa Idara na Vitengo Ofisi hiyo walipokutana kumkaribisha Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola katika ofisi yake Mjini Dodoma Novemba 9, 2017.
 Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Packshard Mkongwa akitoa neno la shukrani kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola mara baada ya kumpokea rasmi katika Ofisi hiyo Novemba 9, 2017 Mjini Dodoma.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Issa Nchansi akiwatambulisha Wasaidizi wa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustine Kamuzola mara baada ya kuwasili katika ofisi yake Mjini Dodoma.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU - DODOMA)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad