HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 15, 2017

Alpha Abdul ashinda Tigo Fiesta Supa Nyota 2017 Mtwara

Mshindi wa Tigo Fiesta Supa Nyota toka mkoa Mtwara, Alpha Abdul akionesha umahiri wake wa kufokafoka kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mshindi wa shindano hilo la kusaka vipaji kama sehemu ya shamrashamra za msimu wa Tigo Fiesta 2017.
Tano bora walioingia kwenye mchujo wa Tigo Fiesta Supa Nyota 2017 mkoani Mtwara.
Tatu bora walioingia kwenye mchujo wa Tigo Fiesta Supa Nyota Mtwara.
Majaji wakiongozwa na Nickson George (katikati) wakijadili jambo katika shindano la kusaka vipaji la Tigo Fiesta 2017 Super Nyota lililofanyika mjini Mtwara.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad