Mshindi wa Tigo Fiesta Supa Nyota toka mkoa Mtwara, Alpha Abdul akionesha umahiri wake wa kufokafoka kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mshindi wa shindano hilo la kusaka vipaji kama sehemu ya shamrashamra za msimu wa Tigo Fiesta 2017.
Tano bora walioingia kwenye mchujo wa Tigo Fiesta Supa Nyota 2017 mkoani Mtwara.
Tatu bora walioingia kwenye mchujo wa Tigo Fiesta Supa Nyota Mtwara.
Majaji wakiongozwa na Nickson George (katikati) wakijadili jambo katika shindano la kusaka vipaji la Tigo Fiesta 2017 Super Nyota lililofanyika mjini Mtwara.
No comments:
Post a Comment