HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 18, 2017

WIKI YA USALAMA BARABARANI: NI ZAMU YETU ABIRIA KUPAAZA SAUTI

 Mabasi ya abiria yanayofanya safari zake kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani  yakiyapita  magari yaliyombele  kwenye   kona na mteremko mkali   barabara kuu ya  Dar es Salaam- Morogoro  eneo zilizopo  Ofisi za Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania ( TAFORI)  karibu Kingolwira  mjini Morogoro   asubuhi ya Oktoba 17, mwaka huu ( 2017) ikiwa ni  siku mbili  tu baada ya Makamu wa Rais , Samia Suluhu Hassan , kuzindua wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani kitaifa mkoani Kilimanjaro yenye kauli mbiu ‘ Zuia ajali , Tii Sheria , Okoa Maisha’ . ( Picha na John Nditi).


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad