HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 2, 2017

WAUMINI WA KANISA LA TAG KINONDONI WACHANGIA DAMU

 Makamu Mkurugenzi wa Idara ya Vijana Tanzania Assemblies of God  Kinondoni,Greyson Nyantamba (wakwanza kulia)akizungumza na Michuzi blog  juu ya kuchagia damu kwaajili ya kuwasaidia watanzania wenye maitaji ya damu katika maazimisho ya siku ya vijana jijini Dar es Salaam.
 Waumini wa kanisa la TAG wakiwa kwenye foleni kwaajili ya kuchangia damu.

Waumini wa kanisa la TAG wakichangia Damu kwaajili ya kuwasaidia watanzania wanye maitaji maalumu.
(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad