Makamu Mkurugenzi wa Idara ya Vijana Tanzania Assemblies of God Kinondoni,Greyson Nyantamba (wakwanza kulia)akizungumza na Michuzi blog juu ya kuchagia damu kwaajili ya kuwasaidia watanzania wenye maitaji ya damu katika maazimisho ya siku ya vijana jijini Dar es Salaam.
Waumini wa kanisa la TAG wakiwa kwenye foleni kwaajili ya kuchangia damu.
Waumini wa kanisa la TAG wakichangia Damu kwaajili ya kuwasaidia watanzania wanye maitaji maalumu.
(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii)
No comments:
Post a Comment